Matini Muhimu :
Home » » Asili ya Kiswahili

Asili ya Kiswahili

Imeandikwa na; Unknown mnamo, Jumanne, 10 Desemba 2013 | Jumanne, Desemba 10, 2013


Wenyewe ni wa Mwambao,    Lugha hii Kiswahili
Walizusha babu zao,               Tokea hivyo azali
Ikadumu hata leo,                   Yasemwa kila mahali
Lugha hii Kiswahili,               Wenyewe ni wa Mwambao

Kuna kabila kusudi,               Ambalo la Waswahili
Kuna hususa uludi,                Ulijue jambo hili
Ukitaka yao jadi,                    Mwambao yao asili
Lugha hii Kiswahili,              Wenyewe ni wa Mwambao

                      (Haji Gora Haji, 2003:4)



Sambaza hii :

0 maoni:

Tafuta Kwenye Wikipedia

Matokeo ya utafutaji

 
Kwa Hisani ya : Muunda Blogu | Nawaje Ali | NAM
Fahari kwa Kiswahili Jukwaani
Hakimiliki © 2013 - 2018. Kiswahili Jukwaani - Haki Zote Zimehifadhiwa