Matini Muhimu :
Home » » Miezi ya Waswahili

Miezi ya Waswahili

Imeandikwa na; Unknown mnamo, Jumatano, 25 Desemba 2013 | Jumatano, Desemba 25, 2013



Mfunguo mosi (mwezi wa kwanza baada ya Ramadhani)

Mfunguo pili (mwezi wa pili baada ya Ramadhani)

Mfunguo tatu (mwezi wa tatu baada ya Ramadhani)

Mfunguo nne (mwezi wa nne baada ya Ramadhani)

Mfunguo tano (mwezi wa tano baada ya Ramadhani)

Mfunguo sita (mwezi wa sita baada ya Ramadhani)

Mfunguo saba (mwezi wa saba baada ya Ramadhani)

Mfunguo nane (mwezi wa nane baada ya Ramadhani)

Mfunguo tisa (mwezi wa tisa baada ya Ramadhani)

Rajab/Mfunguo kumi (mwezi wa kumi baada ya Ramadhani)

Shaabani (mwezi wa kumi na moja baada ya Ramadhani)

Ramadhani (mwezi wa kumi na mbili ambao ndio wa mwisho)

Tanbihi
Waswahili miezi yao huanzia baada ya mfungo wa ramadhani na wanafuata miezi ya muandamo wa mwezi na sio jua.

Sambaza hii :

0 maoni:

Tafuta Kwenye Wikipedia

Matokeo ya utafutaji

 
Kwa Hisani ya : Muunda Blogu | Nawaje Ali | NAM
Fahari kwa Kiswahili Jukwaani
Hakimiliki © 2013 - 2018. Kiswahili Jukwaani - Haki Zote Zimehifadhiwa