Matini Muhimu :
Home » » Kongamano la Siku ya Kiswahili MUM 01/01/2014

Kongamano la Siku ya Kiswahili MUM 01/01/2014

Imeandikwa na; Unknown mnamo, Jumatano, 1 Januari 2014 | Jumatano, Januari 01, 2014

CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO
CHAMA CHA WANAFUNZI WA KISWAHILI WA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIKI




Leo tarehe 01/01/2014 Chuo Kikuu Cha Waislamu Cha Morogoro kimefanya KONGAMANO LA SIKU YA KISWAHILI kwa hisani ya tawi la CHAWAKAMA MUM ambayo ndiyo makao makuu ya chama hicho chwa wanafunzi wa Kiswahili Afrika Mashariki.

Kongamano hilo lilijumuuisha shamrashamra na matukio mbali mbali yanayoashiria kuikuza na kuiendeleza lugha ya Kiswahili ndani na njee ya chuo hicho.

Kongamano hilo lilihudhuriwa na mgeni rasmi myenye nyadhifa ya AFISA ELIMU msingi MOROGORO. Ambaye alipongeza hatua kubwa iliyopigwa na wadau hao wa Kiswahili katika Chuo Kikuu Cha Waislamu Cha Morogoro.




RATIBA YA TAMASHA LA SIKU YA CHAWAKAMA TAWI LA MUM 01/01/2013


MUDA
TUKIO
MUHSIKA / WAHUSIKA
1.        
3:00-3:30
KUINGIA UKUMBINI
WANACHAMA/WANAFUNZI WOTE
2.        
3:30-4:00
WAGENI WAALIKWA KUWASILI UKUMBINI
WAGENI WAALIKWA
3.        
4:00-4:05
DUA YA UFUNGUZI WA SHUGHULI
MAKAMU MKUU WA CHUO
4.        
4:05-4:10
UTAMBULISHO WA WAGENI NA VIONGOZI MBALIMBALI
MWENYEKITI
5.        
4:10-4:25       
UTENZI
NASRA MPATANI
6.        
4:25-4:30
UZINDUZI WA FULANA
MGENI RASMI
7.        
4:30-4:40
HISTORIA YA CHAWAKAMA
Bw. AHMEDI SOVU
8.        
4:40-4:55
KUELEZA UMUHIMU WA CHAWAKAMA
NDG. FRANCIS SELASELA
9.        
4:55-5:25
IGIZO
WANACHAMA (CHAWAKAMA)
10.    
5:25-:6:15
UCHAMBUZI WA DIWANI YA KIVULI KIAMBONI
Bw. MFAUME, R
11.    
6:15-6:40
MABADILIKO KATIKA KASIDA
Bw. NAM
12.    
6:40-6:45
SHAIRI
KIVULI CHA MVUMO
13.    
6:45-7:30
SALA NA CHAKULA
WOTE
14.    
7:30-7:45
NGONJERA
WASHIRIKI
15.    
7:45-8:00
HISTORIA YA SHABANI ROBERT
Bi. KHADIJA
16.    
8:00-8:15
RISALA
KATIBU
17.    
8:15-8:30
SHAIRI
MW. MOH’D   OMAR
18.    
8:30-8:45
MAKAMU MKUU TAALUMA, KUTOA NASAHA NA KUMKARIBISHA MGENI RASMI
Bw. KONDO
19.    
8:50-9:00
HOTUBA
MGENI RASMI
20.    
9:00-9:45


21.    
9:45-9:50
DUA YA KUFUNGA
MKUU WA IDARA YA KISWAHILI
22.    
9:50-10:20
SALA YA ASRI
WOTE
23.    
10:20-12:15
MICHEZO YA VIWANJANI
WASHRIKI WOTE
Sambaza hii :

0 maoni:

Tafuta Kwenye Wikipedia

Matokeo ya utafutaji

 
Kwa Hisani ya : Muunda Blogu | Nawaje Ali | NAM
Fahari kwa Kiswahili Jukwaani
Hakimiliki © 2013 - 2018. Kiswahili Jukwaani - Haki Zote Zimehifadhiwa